Basi aina ya Coaster likiwa limeharibika vibaya baada ya ajali hiyo.(Picha na Audiface Jackson)
GARI la mizigo lililokuwa mwendo wa kasi kutokea Dar Es Salaam kuelekea Tanga liligongana uso kwa uso na kosta iliotokea Arusha kuelekea Dar Es Salaam.
Kwa mbali ni konda aliyeteguka kiuno, na huyu hapa ni mama aliyevunjika mguu katika ajali hiyo iiyotokea maeneo ya Chalinze
Polisi wakiwa eneo la tukio
Hili ndo Costa lililopata ajali
Majeruhi wa ajali hiyo
Vibaka waliokamatwa wakati wakitaka kupora majeruhi wa ajali hiyo