Search in This Blog

ASKARI MWINGINE AGONGWA AKIONGOZA MSAFARA WA SPIKA WA BUNGE

Majira ya saa tisa alasiri, mtu mmoja aliyetambuliwa kuwa ni Mhadhiri wa Chuo cha Usimamizi wa fedha, IFM, Ramadhani Abdi amemgonga kwa gari PC Mbanya aliyekuwa akiongoza magari ya msafara wa Spika wa Bunge, Anne Makinda, na kusababisha askari huyo kuvunjika mguu wa kushoto na mkono wa kushoto.

No comments:

Post a Comment

 
Support : KARIBU TENA MDADISI MAM
Copyright © 2011. RISASI - Haki Zote Zimehifadhiwa.
KWA HISANI YA MDADISI MAMBO
Proudly powered by Blogger