Search in This Blog

CHADEMA NOMA IRINGA



katibu mkuu wa Chadema Dr. Slaa akihutubia umati mkubwa wa wananchi wa jimbo la Iringa mjini katika uwanja wa Mwembetogwa mjini Iringa leo

Mbunge wa jimbo la Iringa mjini akiwapungia mkono wananchi waliojipanga barabarani kuwapongea wabunge wa Chadema na katibu mkuu wa Chama hicho leo

Mbunge wa jimbo la Mbeya mjini Joseph Mbilinyi akiwahutubia wananchi jimbo la Iringa mjini

Mbunge wa jimbo la Ubungo John Mnyika akiwahutubia wakazi wa jimbo la Iringa mjini leo
 
Support : KARIBU TENA MDADISI MAM
Copyright © 2011. RISASI - Haki Zote Zimehifadhiwa.
KWA HISANI YA MDADISI MAMBO
Proudly powered by Blogger