katibu mkuu wa Chadema Dr. Slaa akihutubia umati mkubwa wa wananchi wa jimbo la Iringa mjini katika uwanja wa Mwembetogwa mjini Iringa leo |
Mbunge wa jimbo la Iringa mjini akiwapungia mkono wananchi waliojipanga barabarani kuwapongea wabunge wa Chadema na katibu mkuu wa Chama hicho leo |
Mbunge wa jimbo la Mbeya mjini Joseph Mbilinyi akiwahutubia wananchi jimbo la Iringa mjini |
Mbunge wa jimbo la Ubungo John Mnyika akiwahutubia wakazi wa jimbo la Iringa mjini leo |