Search in This Blog

Mmiliki wa gorofa lililoporomoka kizimbani

Watu kumi na watatu walishtakiwa kwa kosa la mauaji baada ya jengo walilokuwa wanajenga kuporomoka na kusabisha vifo vya watu 36.
Watu hao akiwemo mmiliki wa jengo lenyewe Raza Hussein Ladha, pamoja na wajenzi na wahandisi bado hawajajitetea mbale ya mahakama hiyo.
Wendesha mashtaka walisema kuwa washtakiwa waliwaua watu 24 kinyume na sheria. Ingawa watu 36 waliuawa katika janga hilo, watu wengine 24 wangali kujulikana.
Washtakiwa hao waliwekwa rumande hadi tarehe 16 wakati mahakimu wataamua kuhusu dhamana yao. Hivi ndivyo hali ilivyokuwa bada ya kuporomoka kwa jengo hilo

No comments:

Post a Comment

 
Support : KARIBU TENA MDADISI MAM
Copyright © 2011. RISASI - Haki Zote Zimehifadhiwa.
KWA HISANI YA MDADISI MAMBO
Proudly powered by Blogger