Search in This Blog

RAIS KIKWETE AONGOZA MAMIA KWENYE MAZISHI YA BI. KIDUDE UNGUJA LEO

RAIS KIKWE

https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEgiBxaDVKxYpKqlFFk05Z2Eb4SzzS7e6P9oAunmOW23BnEkiHH2cNJuUBCF5U8LuVOn15tWrXqrQagIIQxOEWQXqma9jaxYemaFvd1bYBFZzrO-gKhVM4FKOx0xnaW2WOdoeC-FVVxId4ry/s1600/IMG_1494.JPG


jeneza lenye mwili wa Msanii Mkongwe wa Muziki wa Mwambao (taarab) hapa nchini,Marehemu Fatma Bint Baraka (Bi Kidude) likitolewa katika msikiti wa Mwembeshauri aliposaliwa mchana wa leo,tayari kwa kwenda kwenye Mazishi.

Rais wa Jamhuri ya Muungano ya Tanzania , Jakaya Mrisho Kikwete akiweka udongo katika kaburi la Msanii mkongwe wa Taarab Tanzania, Fatma Baraka (Bi Kidude) katika makaburi ya Kitumba Wilaya Kati Mkoa wa Kusini Unguja.


https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEg41TlliuRjWopuSzHlV6-ApFFjOHAMgtpqGug4z8oH1akUEd7__bnLsx-3VwHopig20PNtCZdY6cShxp9bb2uHvlu7HWgQT3TGqrEt0HZ0AOj97_NWb9tXssswnyZIC-3FecJqyH2TY9qH/s1600/IMG_1540+%281%29.JPG
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Dk. Ali Mohamed Shein akiweka udongo katika kaburi la Msanii mkongwe wa Taarab Tanzania, Fatma Baraka (Bi Kidude) katika makaburi ya Kitumba Wilaya Kati Mkoa wa Kusini Unguja.

Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar, Balozi Seif Ali Idd akiweka udongo katika kaburi la Msanii mkongwe wa Taarab Tanzania, Fatma Baraka (Bi Kidude) katika makaburi ya Kitumba Wilaya Kati Mkoa wa Kusini Unguja.

Msanii wa Muziki wa Kizazi Kipya,Nasibu Abdul Juma (Diamond) akiweka udongo kaburini wakati wa mazishi ya Msanii mkongwe wa Taarab Tanzania, Fatma Baraka (Bi Kidude) katika makaburi ya Kitumba Wilaya Kati Mkoa wa Kusini Unguja.
 
 
https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEjfgIkLnmeb3IiMhoVp7HgTc53W60n690mN3VbmNGXC6xdbwvETbVz6d5LZu_lYlzX5l0cjIDZZwNAr13mjWz8lXj5MZxX15KCEDtQ_Nt7A8HIfKLqj6juvrI8DAqOpntoPcWpHVJx2ShdA/s1600/IMG_1538.JPG
Taratibu za Mazishi zikiendelea.
 
Support : KARIBU TENA MDADISI MAM
Copyright © 2011. RISASI - Haki Zote Zimehifadhiwa.
KWA HISANI YA MDADISI MAMBO
Proudly powered by Blogger