RAIS KIKWE
jeneza lenye mwili wa Msanii
Mkongwe wa Muziki wa Mwambao (taarab) hapa nchini,Marehemu Fatma Bint
Baraka (Bi Kidude) likitolewa katika msikiti wa Mwembeshauri aliposaliwa
mchana wa leo,tayari kwa kwenda kwenye Mazishi.
Rais wa Jamhuri ya Muungano ya
Tanzania , Jakaya Mrisho Kikwete akiweka udongo katika kaburi la Msanii
mkongwe wa Taarab Tanzania, Fatma Baraka (Bi Kidude) katika makaburi ya
Kitumba Wilaya Kati Mkoa wa Kusini Unguja.
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa
Baraza la Mapinduzi, Dk. Ali Mohamed Shein akiweka udongo katika kaburi
la Msanii mkongwe wa Taarab Tanzania, Fatma Baraka (Bi Kidude) katika
makaburi ya Kitumba Wilaya Kati Mkoa wa Kusini Unguja.
Makamu wa Pili wa Rais wa
Zanzibar, Balozi Seif Ali Idd akiweka udongo katika kaburi la Msanii
mkongwe wa Taarab Tanzania, Fatma Baraka (Bi Kidude) katika makaburi ya
Kitumba Wilaya Kati Mkoa wa Kusini Unguja.
Msanii wa Muziki wa Kizazi
Kipya,Nasibu Abdul Juma (Diamond) akiweka udongo kaburini wakati wa
mazishi ya Msanii mkongwe wa Taarab Tanzania, Fatma Baraka (Bi Kidude)
katika makaburi ya Kitumba Wilaya Kati Mkoa wa Kusini Unguja.
Taratibu za Mazishi zikiendelea.