BREAKING NEWS: LWAKATARE AFUTIWA MASHTAKA YA UGAIDI
Habari tulizozipokea hivi punde ni kwamba, mahakama Kuu imemfutia Mkurugenzi wa Ulinzi na Usalama wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo ( CHADEMA),Wilfred Lwakatare(Pichani juu), mashtaka yote ya ugaidi, na imerudisha shtaka moja la utekaji(kidnapping) Mahakama ya Kisutu na pamoja nasuala la dhamana. Kwa habari zaidi endelea kufuatilia blog hii