Search in This Blog

"CUF NI CHAMA CHA MASHOGA KINACHOUNGA MKONO NDOA ZA JINSIA MOJA NA USAGAJI"...WENJE

Wenje achafua bunge. asema CUF ni chama cha liberal kinachounga mkono ndoa ya jinsia moja, ushoga na usagaji! wabunge wa CUF waja juu na kumpromoshea matusi na kumtaka aondoe hayo maneno. yeye akaanza kutoa ufafanuzi lakini wabunge wote wa CUF wakasimama na kuanza kumfokea Wenje kwa maneno makali huku wakisisitiza kuwa bila kuondoa hayo hakisomwi kitu leo! Naibu Spika kasitisha bunge mpaka ...
Bunge lachafuka na kuahirishwa baada ya CUF kuhusishwa na usagaj na ndoa za jinsia moja


wakati akisoma hotuba ya kambi ya upinzan mh wenje alisema CUF wana urafik na chama cha Liberal ambacho kina msimamo kuruhusu ndoa za jinsia moja na usagaj.mbunge wa Cuf aliomba mwongozo na hatimaye vurugu kusikika na vipigo.
 
Support : KARIBU TENA MDADISI MAM
Copyright © 2011. RISASI - Haki Zote Zimehifadhiwa.
KWA HISANI YA MDADISI MAMBO
Proudly powered by Blogger