Bunge lachafuka na kuahirishwa baada ya CUF kuhusishwa na usagaj na ndoa za jinsia moja
wakati akisoma hotuba ya kambi ya upinzan mh wenje alisema CUF wana urafik na chama cha Liberal ambacho kina msimamo kuruhusu ndoa za jinsia moja na usagaj.mbunge wa Cuf aliomba mwongozo na hatimaye vurugu kusikika na vipigo.