Amiri Jeshi Mkuu Rais Jakaya Mrisho
Kikwete akimkabidhi bendera kiongozi wa batalioni ya wanajeshi wa JWTZ
wanaokwenda kujiunga na jeshi la Umoja wa Mataifa la kulinda amani
Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo, katika sherehe za kuwaaga
zilizofanyika Msangani, Kibaha, Mkoa wa Pwani leo Mei 8, 2013. Waziri wa Ulinzi na Jeshi la Kujenga Taifa Mhe. Shamsi Vuai Nahodha na Mkuu wa Majeshi Jenerali Davis Mwamunyange wanashuhudia.