Search in This Blog

MTOTO MCHAWI AKAMATWA MKOANI IRINGA

 Hapa mtoto Naomi akitoa vifaa vyake vya Uchawi.Picha na Lewis Mbonde
 Hapa ni sehemu yake ya kuondokea kwenda kufanya uchawi vitu vyake vikiwa vinaungua baada ya kuchomwa moto
 Hapa wanamaombi wakivichoma moto vitu vya Kichawi vya Naomi
 
Ni jambo la kusikitisha na la kweli lililotokea katika kata ya  Kihesa Mkoani Iringa, Mtoto mmoja kwa jina la Naomi ambaye analelewa na shirika lisilo la kiserikali la Compassion,Kituo cha Kihesa amestaajabisha jamii kwa kukutwa na vitu vya Kichawi nyumbani kwao pasipo mama yake kufahamu chochote.
 
Chanzo chetu cha habari kimetutonya kuwa mtoto huyo alikuwa na mambo yasiyo ya kawaida tangu muda mrefu sana,Kwanza maendeleo yake shuleni ni hafifu pia ana tabia ya kutoloka nyumbani au shuleni na kuelekea pahali asipopajua.Wakati mwingine huwa anakutwa umbali mrefu sana akiwa amezubaa tu njiani hana uelekeo, Chanzo kinasema kuwa wakati wa maombi mototo huyo huwa kama ni mtu aliyezama sana kwenye maombi na hupenda sana kuimbisha nyimbo za kumsifu Mungu.
 
Chanzo chetu kinaendelea kusema kuwa mtoto huyu amekuwa ni kero kwa mama yake kwa tabia yake ya kutorokatoroka nyumbani na shuleni.
Chanzo kinasema kuwa ilikuwa ni siku ya jumamosi ambapo watoto wote wanaonufaika na huduma hiyo hukutanika kwa ajili ya mafunzo mbalimbali yakiwemo ya kiroho, Siku hiyo ilikuwa imepangwa kwa ajili ya maombi ya pamoja na vituo vingine yaliyofanyika katika kanisa la kristo mfalme Mjini Iringa mtoto huyo hakuwepo katika orodha ya kati ya watoto waliochaguliwa katika msafara huo na mara nyingi katika matukio kama hayo ya kutoka nje ya kituo huwa ni king’ang’anizi sana hata akiachwa hukutwa katika eneo la tukio nailikua ikizaniwa ametembea kwa mguu kufika hapo.
Siku hiyo ilikua ya kushangaza kidogo kwani walihakikisha amezuiwa na kuachwa kituoni lakini walipofika tu getini kristo mfalme umbali wa kilomita 7 walimkuta mtoto huyo ameshafika na ilipopigwa simu kituoni kuuliza kama yupo wakasema sio mda mchache ameonekana kule alipoulizwa amefikaje akasema amefika kwa mbinu zake ndipo jopo la wanamaombi likakusanyika na kumfanyia maombi.
Baada ya hapo  wanamaombi wakaelekea nyumbani kwa mtoto na kutoa vitu mbali mbali vya kishirikina kama kisu,wembe,msumali, sindano ,sahani na vinginevyo alivyokua akitumia kuulia watu na kuwawangia watoto wenzake kituoni hapo na alifanikiwa kuwapata watoto wanne ambao alikua anafanyanao mambo ya kichawi.
Hata hivyo kila siku ikifika mida ya saa tisa mchana amekua akila nyama za watu na kula damu za watu. Pia amekua akifanya mapenzi na majini kumi na mbili kwa siku.Baada ya hapo likafuatia tukio la kuchoma moto vitu vyake katika ile sehemu yake ya kuondokea kwenda kufanya shughuli zake za kichawi.
 
Support : KARIBU TENA MDADISI MAM
Copyright © 2011. RISASI - Haki Zote Zimehifadhiwa.
KWA HISANI YA MDADISI MAMBO
Proudly powered by Blogger