Search in This Blog

PICHA ZA MTOTO ALIETUPWA CHOONI NCHINI CHINA HIZI HAPA

Mtoto amabae inasemekana alitupwa chooni na mama huyo mwenye umri wa miaka 22 raia wa China amefanikiwa kuwa hai baada ya juhudi za hali ya juu zilizofanywa na madaktari kwa kuchana bomba la choo pasina kumkata mtoto huyo a,mbae inasemekana alikaa kwenye bomba hilo zaidi ya lisaa limoja.
Ama serikali ya China imesema itamfungulia mashtaka ya kesi ya mauaji mwanamke huyo.
Photo: Waokoaji walikata bomba hilo kwa ustadi na kuweza kufanikiwa kumuoka mtoto huyu mchanga aliyekuwa amekwama ndani ya bomba la maji taka nchini China. Anaendelea kupokea matibabu.The baby boy is in stable condition after being removed from the 3-inch pipe.
 
Support : KARIBU TENA MDADISI MAM
Copyright © 2011. RISASI - Haki Zote Zimehifadhiwa.
KWA HISANI YA MDADISI MAMBO
Proudly powered by Blogger