POLISI MKOANI TARIME WAUWA MTOTO WA MIAKA TISA KWA UZEMBE TUNAOMBA RADHI KWA PICHA HII
Haya
ndiyo yaliyofanyika Tarime leo mtoto wa miaka 9 kuuuwa na jeshi la
polisi kwa uzembe eti wanawakamata majambazi ambao si wale wanaoiba na
kuuwa watu mpaka mwa Tanzania na Kenya