Miili
ya waliopoteza maisha katika katika mlipuko wa bomu uliotokea hivi
karibuni katika kanisa la Mt.Joseph Mfanyakazi lililopo Kata ya Olasiti
Mkoani Arusha,ikiwa tayari kwa ajili ya mazishi. Ibada ya mazishi
imefanyika leo katika kanisa hilo na marehemu wamezikwa kwenye eneo la
kanisa hilo.
Miiili
ya waliopoteza maisha katika katika mlipuko wa bomu uliotokea hivi
karibuni katika kanisa la Mt.Joseph Mfanyakazi lililopo kata ya Olasiti
mkoani Arusha,ikiwa tayari kwa ajili ya mazishi. Picha na Ferdinand Shayo.
Ndugu wa marehemu wakiweka odongo kwenye makaburi ya wapendwa wao waliokufa