WANAFUNZI WA SHULE YA SECONDARI MANZESE ZAIDI YA 30 MUDA HUU WANAANGUKA HOVYO HOVYO
Wanafunzi wa shule ya sekondari manzese zaidi ya 30 muda huu
wanaanguka hovyo hovyo na kusema a mane no yasiyoeleweka kutokana na
kinachohisiwa kuna nguvu za Giza zimetanda shuleni hapo huku
wakijibamiza kwenye miti:
Mmoja wa wanafunzi wa shule ya Sekondari
Manzese aliyeanguka na kuweweseka.Mpaka sasa haijafahamika chanzo cha
wanafunzi wa shule hiyo kukimbia ovyo,kuanguka na kuweweseka.