Search in This Blog

WAWILI KUTOKA JUMAPILI HII, BBA

Ni wazi kwamba washiriki wote wameingia katika Big Brother wakijua kuna kutoka na kushinda, japo ni jambo gumu sana kwa mshiriki atakayechaguliwa kutoka baada ya wiki moja tu.

bba housemates
Baada ya saa 24 kupita toka mchezo uanze big brother alitoa tangazo la washiriki watano walioingia katika hatari ya kuiaga Big Brother “The Chase” Jumapili hii (June 2).
Majina ya washiriki walio katika hatari ya kutoka ni matano lakini watakaofungasha mizigo yao Jumapili hii ni wawili kati yao.
Upande wa Rubies House walio katika list hiyo ni hawa:
selly Selly wa Ghana
natasha bba Natasha kutoka Malawi.
Upande wa Diamond House panga la eviction limemdondokea Betty wa Ethiopia baada ya mkuu wa nyumba hiyo Fezza kumuokoa mshiriki wa Ghana Elikem ambaye ndio aliyekuwa amechaguliwa na Big Brother.
betty Betty wa Ethiopia
Moja ya mamlaka aliyonayo mkuu wa nyumba ni pamoja na kumuokoa mshiriki anayekuwa amechaguliwa kutoka, kwa kumpendekeza mshiriki mwingine kwa niaba yake.
Washiriki wengine waliongia katika hatari ya kutoka weekend hii ni muwakilishi wa Kenya Huddah Manroe, pamoja na Denzel kutoka Uganda.
Huddahbbacover Huddah Manroe
DENZEL Denzel
 
Support : KARIBU TENA MDADISI MAM
Copyright © 2011. RISASI - Haki Zote Zimehifadhiwa.
KWA HISANI YA MDADISI MAMBO
Proudly powered by Blogger