Baada ya taarifa kuzushwa
kuwa Mwanamuziki wa asili, Saida Karoli amefariki katika ajali ya meli habari za uhakika ni
kuwa Saida Karoli wala hayuko mahala popote jirani na Ziwa
Victoria.
Saida Karoli anasema "sina mpango wowote wa kufa hivi karibuni".