Search in This Blog

FEZA KESSY WA TANZANIA YUKO HATARINI KUTOLEWA BBA.


Kama hisia za wengi zilivyokuwa kuhusiana na Betty kulipiza kisasi, mambo yameenda hivyo..
Betty ambaye ni Head of House wa Diamond house amemuokoa Bolt na kumuweka kikaangoni Feza..

Katika Ruby house, Selly ambaye ni Head of house huko, naye ametumia ukuu wake wa kaya kumuokoa Biguesas na kumtia kitanzini Koketso..

Wiki hii Feza, Dillish, Hakeem, LK4 na Koketso wako kikaangoni..

- Kila nchi inahesabiwa kama kura moja.
 
Support : KARIBU TENA MDADISI MAM
Copyright © 2011. RISASI - Haki Zote Zimehifadhiwa.
KWA HISANI YA MDADISI MAMBO
Proudly powered by Blogger