Search in This Blog

GIRLS:INAKUWAJE UWEKE PICHA YA MITEGO FACEBOOK UKIANZA KUOMBWA UNATUKANA?



Umeweka picha mwenyewe, picha mbaya unaonyesha maungo na sehemu zako za sirini zikiwa wazi....Watu wana comment na kukuomba uwape hisani,unachukia na kuanza kuwapa matusi ya nguoni wakaka wa watu wakati umewa-invite mwenyewe kwa aina ya picha uliyoi-post...i nashangaza
Uliona wapi mmachinga anawatukana wateja wake kwa kuulizia bei ya gauni alilotundika??? Think before you act,theway you dress is the way people will address you,a bitch cant wear a Virgin marry type of clothes.
 
Support : KARIBU TENA MDADISI MAM
Copyright © 2011. RISASI - Haki Zote Zimehifadhiwa.
KWA HISANI YA MDADISI MAMBO
Proudly powered by Blogger