Mama huyu akiwa
hajielewi kwa kile kilichompata,baada ya kula uroda na mwanaume katika nyumba
ya wageni ya super star hamugembe alitoweka na pesa za mwanaume huyo ambae
inasemekana ni mkazi wa kigoma,baada ya muda mama huyu
alijikuta baada ya umati kuwa mkubwa police walifika
maeneo ya tukio na kumchukua huyo mama,tunafanya jitihada za kumpata
msemaji wa jeshi la police,na ikibidi taarifa rasmi ya daktarihana
sehemu zake za siri
mama alipoteza sehemu za siri akipelekwa polisi