Search in This Blog

MWANAFUNZI WA UDSM KITIVO CHA SHERIA ALIYEPIGWA RISASI NA MAJAMBAZI

ALEX ROBERT AKIWA KATIKA POZI WAKATI WA MAPUMZIKO.
Wanafunzi wa chuo hicho mwaka wa nne pamoja na mkuu wa kitovo cha sheria profesa bonaventure rutinwa wakimwombea mwenzao aendelee kuwa salama na upasuaji huo ufanyike vizuri katika hospitali ya muhimbili dar es salaam juni 21.
Wanafunzi wa chuo hicho mwaka wa nne wakionesha mshikamano wakisubiri mwenzao alex robert akiwa thieta wakati wa operesheni katika hospital ya taifa muhimbili .
ALEX ROBERT KULIA AKIWA NA RAFIKI ZAKE
ALEX ROBERT
 
Support : KARIBU TENA MDADISI MAM
Copyright © 2011. RISASI - Haki Zote Zimehifadhiwa.
KWA HISANI YA MDADISI MAMBO
Proudly powered by Blogger