Search in This Blog

OMMY DIMPOZ AOMBA RADHI KWA KUMTUKANA MAREHEMU NGWEA

Baada   ya  watanzania  kumwandama  Ommy  Dimpoz  kutokana  na  tusi  alomtukana  marehemu  Ngwea,  msanii  huyo  ameamua  kuwapigia  magoti  watanzania  na  kuwasihi  wamsamehe.....
Hali  hiyo  imekuuja  baada  ya  watu  mbalimbali  kutangaza  kumsaka  Ommy  kwa  lengo  la  kumwadabisha  kwa  kumpa  kichapo   kikali...
Miongoni  mwa watu  hao  ni  TID ambaye  leo  kupitia  ukurasa  wake  wa  facebook  ametangaza  vita  dhiti  ya  Ommy  Dimpoz....
Hii  ni  post  ya Ommy  ambayo  ameitoa  akiomba  asamehewe  kwa  kauli  zake  na  matusi  aliyoyatoa  kwa  marehemu  Ngwea....


 
Support : KARIBU TENA MDADISI MAM
Copyright © 2011. RISASI - Haki Zote Zimehifadhiwa.
KWA HISANI YA MDADISI MAMBO
Proudly powered by Blogger