askari
wakiwa wameimarisha ulinzi.
moshi wa
matairi ukiwa umetanda eneo la soweto wakati wa vurugu.
vizuwizi
mbalimbali vikiwa vimewekwa barabarani wakati wa vurugu za wananchi na polisi
jijini arusha leo.
kazi ya
ufyatuaji wa mabomu ulikuwa hivi.
moshi wa
matairi ukiwa umetanda eneo la soweto wakati wa vurugu
VIZIWIZI MBALIMBALI VIKIWA VIMEWEKWA BARABARANI WAKATI WA VURUGU ZA WANANCHI NA POLISI JIJINI ARUSHA LEO.MOTO UKIWA UNAWAKA KATIKATI YA BARABARA WAKATI WA VURUGU HIZOKUNDI LA WANANCHI WAKIWA KATIKA BARABARA WAKIANDAMANA KUPINGA JAMBO KATIKA VURUGU HIZO.WASAMALIA WEMA WAKIMSAIDIA MTOTO BAADA YA KUTOKA VURUGU HUKU NYUMA YAO KUKIWA NA KUNDI KUBWA LA ASKARI.Sehemu
ya umati wa waombolezaji wa wahanga wa mlipuko wa bomu wakiwa katika
viwanja vya
Soweto mjini Arusha wakiwa kwenye maombolezo muda mfupi kabla ya polisi
kuwatawanya na kuwapiga mabomu
ambapo inadaiwa kuwa watu wawili wamepoteza maisha na majeruhi
wasiojulikana huku wabunge wawili wakidaiwa kushikiliwa na jeshi la
polisi akiwemo Mh Tindu Lissu na
Mh Mustapha Akoonay kutokana na vurugu hizo.
Mhe. Tundu Lissu