Search in This Blog

TAZAMA PICHA 11 ZA GARI ALILOPATA NALO AJALI MASELE CHA POMBE HAPA

masele 
Masele cha pombe jana mchana zilisambaa habari kwamba amepata ajali ya gari la amefariki dunia. Jibu sio kweli na ishu nzima ni kwamba alipata ajali akiwa barabara ya 14 Tanga baada ya kumgonga mtu mmoja. Akiwa katika harakati za kupaki gari na kushuka, wananchi walianza kumshambuli kwa mawe ndipo hapo Masele alipojaribu kuokoa maisha yake kwa kuwasha gari na kuanza kukimbia, bahati mbaya baada ya hapo akamgonga mtu mwingine bahati mbaya ndipo watu wakalikuta gari lake na kuanza kulipoga mawe na wengine kuchoma visu matairi ya gali hilo. Chanzo kilichotutumia habari hii kinaendelea kusema kwamba hadi Masele mwenyewe ameibiwa hela zake pamoja na simu yake ya mkononi. Lakini hivi sasa yupo mzima kabisa
1011776_478300138911845_155857635_n1005403_478299895578536_1677120218_n1010249_478362232238969_2036498556_n1005571_478300762245116_1541121029_n 181235_478297678912091_624038636_n
Picha zaidi hapa
10577_478296855578840_1268073968_n988491_478362075572318_231496031_n1001059_478309448910914_659605718_n 1001647_478310002244192_821284754_n1006126_478310208910838_757102021_n
1014252_478299582245234_288903565_n
 
Support : KARIBU TENA MDADISI MAM
Copyright © 2011. RISASI - Haki Zote Zimehifadhiwa.
KWA HISANI YA MDADISI MAMBO
Proudly powered by Blogger