Search in This Blog

WATU MBALIMBALI WAMEANZA KUTOA HESHIMA ZAO ZA MWISHO KWA MAREHEMU ALBERT MANGWEA VIWANJA VYA LEADERS

MWILI WA MAREHEMU ALBERT MANGWEA UKIWA KATIKA JENEZA TAYARI KWA WATU MBALIMBALI KUAGA KATIKA VIWANJA VYA LEAD
ERS, KABLA YA KUANZA SAFARI YA KWENDA MKOANI MOROGORO KWA AJILI YA MAZISHI KESHO SIKU YA ALHAMISI.

Umati wa watu wakiwa wamepanga mstari tayari kwa kwenda kuaga huku kikosi cha msalaba mwekundu na polisi kikiwa stand by just incase anything happens. Sasa naskia watu badala ya kwenda na kuaga wao wako busy wanapiga picha kha hizi teknolojia aiseee tutajutaaaa
Baadhi ya ma super star wa bongo wakiwa kwenye mstari tayari kwa kuaga
 
Support : KARIBU TENA MDADISI MAM
Copyright © 2011. RISASI - Haki Zote Zimehifadhiwa.
KWA HISANI YA MDADISI MAMBO
Proudly powered by Blogger