Search in This Blog

JAJI MKUU NCHINI MISRI AAPISHWA KAMA RAIS WA MUDA NCHINI HUMO BAADA YA RAIS MORSI KUPINDULIWA

Jaji mkuu wa mahakama ya juu zaidi ya kikatiba ameapishwa nchini Misri kuwa rais wa muda baada ya jeshi kumng'oa mamlakani rais aliyechaguliwa na raia kwa njia ya kidemokrasia na kushinda kwa wingi wa kura, Mohammed Morsi. Vingozi wa kimataifa wameelezea wasiwasi kuhusu kuhusu hatua ya kumpindua mamlakani rais huyo.
 
Support : KARIBU TENA MDADISI MAM
Copyright © 2011. RISASI - Haki Zote Zimehifadhiwa.
KWA HISANI YA MDADISI MAMBO
Proudly powered by Blogger