Search in This Blog

MASAI NYOTAMBOFU AVUNJA REKODI WAKATI WA SHEREHE YAKE YA KUZALIWA.


 
Msanii wa vichekesho na mwanablog, masai nyotambofu hivi karibu alivunja rekodi baada ya kukata keki kwa kutumia panga tofauti na utamaduni uliozoeleka wa kukata keki na kisu.

Katika sherehe hiyo msanii huyo alichom
oa panga kiunoni na kuanza kukata jambo ambalo liliwavutia wageni waliodhuria sherehe hiyo kuvunjika mbavu kwa vicheko vilivyosababisha na tendo hilo.

 
Support : KARIBU TENA MDADISI MAM
Copyright © 2011. RISASI - Haki Zote Zimehifadhiwa.
KWA HISANI YA MDADISI MAMBO
Proudly powered by Blogger