Search in This Blog

AJALI YA PIKIPIKI MKOANI BUKOBA


Ajali mbaya yamkuta mwendesha pikipiki mjini bukoba maarufu kama Assecdo, na kupuata madhara ya majeraha makubwa kichwani na mkononi kama inavyo onekana katika picha.
Ni baada ya kupalamia ukuta wa duka la nyama lililopo mitaa ya miembeni Center usawa wa kutokea barabara ya bukoba sekondari
Mpaka anapelekwe hospital hali yake haikuwa nzuri,ni tukio la mchana wa jumamosi weekend hii.
hadi tunaingia mitamboni atujapata habari zaidi kuhusiana na tukio hili na ukweli ni kwamba hali ya biashara ni tete ndani ya Burchar hiyo .
Picha kwa hisani ya Mdau Jon Do Pesa na Bukoba wadau blog
 
Support : KARIBU TENA MDADISI MAM
Copyright © 2011. RISASI - Haki Zote Zimehifadhiwa.
KWA HISANI YA MDADISI MAMBO
Proudly powered by Blogger