Search in This Blog

JACK DUSTAN WA MCHARUKO HUKO UGHAIBUNI


STAA wa Shindano la Maisha Plus Season 2, Jacqueline Dustan ameonyesha tabia za mcharuko akiwa pande za Dubai  kwa kupiga picha katika mikao tata na mrembo mmoja aliyejulikana kwa jina la Mwajabu Juma.
Jacqueline Dustan.
Jacqueline ambaye ametimkia nchini humo hivi karibuni, amezua zogo mtandaoni baada ya wadau mbalimbali kumponda kwa kuonesha tabia chafu katika nchi za watu. Alipouulizwa kuhusu picha hiyo kuzagaa mtandaoni, hakujali:
“Jamani Wabongo msione jambo, sasa hii picha hapa ina ubaya gani? Mbona ni pozi tu la kawaida tu wala sioni kitu chochote ambacho kinaweza kuwashangaza,” aliandika Jacqueline. 

-GPL
 
Support : KARIBU TENA MDADISI MAM
Copyright © 2011. RISASI - Haki Zote Zimehifadhiwa.
KWA HISANI YA MDADISI MAMBO
Proudly powered by Blogger