Search in This Blog

KIPINDI CHA WEMA KUANZA KURUKA HEWANI KWENYE KITUO CHA TV CHA EATV KUANZIA MWEZI UJAO

Kile kipindi cha Reality Show ya maisha ya mwigizaji Wema wepetu ambacho hapo mwanzo kilipangwa kuanza kuoneshwa na kituo cha TV cha Clouds cha jijini Dar es salaam, sasa kitaanza kuonekana kwenye kituo cha EATV kuanzia mapema mwezi ujao.
Kwa mujibu wa taarifa za mtandao toka kwenye kituo hicho cha TV ambazo hazijaelezea sababu hasa za kipindi hicho kuamia kwenye luninga hiyo zinasema kuwa, fans wa mwanadada hyuo wake tayari kwa ajili ya show hiyo ya kwanza na aina yake bongo.
 
Support : KARIBU TENA MDADISI MAM
Copyright © 2011. RISASI - Haki Zote Zimehifadhiwa.
KWA HISANI YA MDADISI MAMBO
Proudly powered by Blogger