Search in This Blog

TAZAMA PICHA ZA BEHIND THE SCENE ZA FILAMU MPYA YA CLOUD112 INAYOITWA DR MAX HIZI HAPA;

Kwanza sina budi kumshkuru M/mungu muumba wa kila kitu, kwa kutueka wazima mpaka muda huu mimi wewe pamoja na wengine, Pili niwashkuru sana nyinyi Fans wangu  kwa kuendelea kuniunga mkono katika kazi zangu takriban zote ninazozitoa, kwasababu nyinyi ndio mnaonifanya nitengeneze Filamu nzuri kila siku, Sasa baada ya kufanya vizur kwa Filamu ya SHAHADA kwa msaada wenu. Ndugu yenu nimeingiakambini,na sasa natengeza Filamu nyengne kwa ajili yenu, filamu hiyo inaitwa DR MAX, kwa ushirikiano wenu nina imani DR MAX itakuja kuleta mapinduzi makubwa ya Filamu Tanzania, hii ni DAY 1 ambayo nimeamua kukuekeni picha za kinachofanyika na pia tutaendelea kupeana picha mpaka siku tutakayo maliza kwa mtindo wa day 1, day 2 mpaka tutakapo maliza tuombe uzima tuu;
 PICHA ZA DR MAX behind the scene DAY 1 ni hizi zifuatazo:-










NAWAPENDA SANA NA ENDELENI KUNIPA SUPPORT:
 
Support : KARIBU TENA MDADISI MAM
Copyright © 2011. RISASI - Haki Zote Zimehifadhiwa.
KWA HISANI YA MDADISI MAMBO
Proudly powered by Blogger