Search in This Blog

UWOYA AENDELEA KUMSHUTUMU SHIGONGO KWA KUMCHAFUA, AAHIDI KUWEKA HADHARANI SABABU ZA KUMCHUKIA NA USHAHIDI

Msanii wa filamu nchini Irene Uwoya ameendelea kumshutumu mkurugenzi wa Global Publishers Erick Shigongo kwa kumchafua na kuahidi siku moja kuongea na kuweka wazi na ushahidi kila kitu kati yake na Shigongo.
UWOYA2
Kupitia akaunti yake ya Instagram @irenewaferegola8, uwoya ameandika:
“Ipo siku ntaongea ukweli kuhusu shigongo na ushaid pia ntatoa…usilo lijua nikama usiku wagiza ndomana atawadanganya wasio na akili na wasio mjua….ntapgana nae mpaka tone la mwisho la damu yangu ntasema kila kitu kwanin ananichukia…na ntaweka kila kitu waz….den wenye akili watajua naongea nin…simuogop atakama atanichafua kiasi gan…hizo kwangu ni matone yamvua bado mvua yenyewe…I don care kwaatakae muamin but mwisho wa siku ukweli utaonekana na atataman ardhi ipasuke……mim irene uwoya sijashawishiwa na mtu wala kulazimishwa nahaaidi ya kwamba ntaongea kila kitu btwn me n him….eeh mwenyez ? MUNGU nisaidie. “
Uwoya Instagram
Shutuma hizi zimekuja baada ya gazeti la Risasi linalomilikiwa na Global Publishers katika ukurasa wake wa mbele Jumamosi iliyopita kuandika habari yenye kichwa cha habari ‘UWOYA MBARONI KWA WIZI WA SIMU’, na baadaye Irene alipost Instagram picha ya gazeti hilo na kuandika:
uwoya gazeti
“Minimti wenye matunda milele siogop kupigwa mawe…shigongo kamua kunichafua coz nakes nae mahakaman…anadhan ntaiacha never yeye aponde anavyoweza ila mwisho wasiku sheria iatafata mkondo wake….minayake mengi nayajua ila ngoja ninyamaze nisimwagiwe tindikali”
 
Support : KARIBU TENA MDADISI MAM
Copyright © 2011. RISASI - Haki Zote Zimehifadhiwa.
KWA HISANI YA MDADISI MAMBO
Proudly powered by Blogger