Charles Gabriel ‘Chaz Baba’.
Tukio hilo lilitokea juzi Jumapili nje ya Uwanja wa Taifa, Temeke,
Dar muda mfupi baada ya mechi ya watani wa jadi, Simba na Yanga
kumalizika.“Walikuwa wengi, walinizunguka ghafla na kuniibia, lakini nilifanikiwa kumkamata mmoja na kumpiga lakini wenzake waka mwokoa. Japo hawa watoto wa Temeke wanajifanya wajanja, lakini pia nimewa-komesha,” Chaz baba alimwambia mwandishi wetu.
Vibaka hao walifanikisha zoezi hilo kwa kutumia mwanya wa uwingi wa watu waliokuwa wakitoka uwanjani siku hiyo.