Search in This Blog

PICHA: MUONE NAKAAYA ALIVYOCHOKA KWA MIMBA

Mwanamuziki nguli wa Bongo Fleva ambaye pia ni dada wa aliyekuwa Miss Tanzania 2005,Nancy Sumari,Nakaaya Sumari amepost picha mbalimbali mtandaoni akiwa na ujauzito ambao unaonyesha atajifungua muda wowote kutokana na ukubwa wake... mcheki hapa..


 Watu mbalimbali wamempongeza Nakaaya na kumtakia kila la heri na ajifungue salama huku yeye mwenyewe akiandika Sasa huku ndio kuchoka...


 
Support : KARIBU TENA MDADISI MAM
Copyright © 2011. RISASI - Haki Zote Zimehifadhiwa.
KWA HISANI YA MDADISI MAMBO
Proudly powered by Blogger