Search in This Blog

DJ MKONGWE NA MTANGAZAJI WA REDIO RANKIM RAMADHANI AFARIKI DUNIA

Dj Rankim Ramadhan
Habari zilizotufikia hivi punde Dj mkongwe na mtangazaji wa redio Rankim Ramadhan amefariki jana jijini Dar es Salaam, Tanzania.

Rankim Ramadhan aliweka stutus kwenye facebook siku chache kabla ya kifo chake akisema "anasikia maumivu makali na hapo alipo hajala siku tatu na madaktari wanasema Appendix ndiyo inayonisumbua" lakini habari toka kwa marafiki wa karibu na Dj Rankim Ramadhani wansema marehemu alikua anasumbuliwa na vidonda vya muda mrefu.
 
Support : KARIBU TENA MDADISI MAM
Copyright © 2011. RISASI - Haki Zote Zimehifadhiwa.
KWA HISANI YA MDADISI MAMBO
Proudly powered by Blogger