Search in This Blog

IRENE UWOYA HAJAATHIRIKA NA UKIMWI, SOMA MAJIBU YA VIPIMO VYAKE

Irene Uwoya ambaye ni msanii wa Filamu za kuigiza nchini ameweka cheti kinachoonyesha kuwa yeye ni safi na salama kiafya. Kwani cheti hicho kinaonyesha yeye si muathirika wa ugonjwa wa Ukimwa. Kiangalie Cheti chenyewe hapa Picha ya cheti hicho ametupia katika account yake ya instagram, na mwisho aliwashauri wafanye kama alivyofanya yeye, yaani kwenda kupima Ukimwi aka ngoma .
 
Support : KARIBU TENA MDADISI MAM
Copyright © 2011. RISASI - Haki Zote Zimehifadhiwa.
KWA HISANI YA MDADISI MAMBO
Proudly powered by Blogger