Search in This Blog

KAMA ULIKUWA HUUJUI UTAJIRI WA KING MAJUTO, UONE HAPA

 

Kwenye interview aliyofanya na Millard Ayo mzee huyu staa wa movie za vichekesho hapa Tanzania ambae mpaka sasa ameshaigiza movie zaidi ya 600, umri wake ukiwa miaka 65… alithibitisha kwamba anapokea mshahara wa milioni 17 mpaka 20 kwa mwezi sasa hivi kutoka kampuni ya Steps anayofanya nayo kazi

Daladala za biashara anazomiliki Mzee Majuto ni tatu tu na anamiliki pia Noah ambayo ndio anaitumia kutembelea.

19 

18
16
14
13
10
6
2
9
3
4
5
17
12
11
15

Source: Millard Ayo
 
Support : KARIBU TENA MDADISI MAM
Copyright © 2011. RISASI - Haki Zote Zimehifadhiwa.
KWA HISANI YA MDADISI MAMBO
Proudly powered by Blogger