Search in This Blog

MSANII DR JOHN AFIWA NA MKE WAKE.


http://userserve-ak.last.fm/serve/_/433526/Wagosi+wa+Kaya.jpg 

Habari zilizotufikia ni kua mke wa DR John mmoja wa wasanii wanaounda kundi la Wagosi wa kaya amefariki dunia siku ya leo. Tunaendelea kutafuta mawasiliano na mwakilishi wetu ambaye atatuunganisha na DR John ili tuweze kuwaletea habari kamili. Bongoclan inatoa pole sana kwa familia ya DR John.
 
Support : KARIBU TENA MDADISI MAM
Copyright © 2011. RISASI - Haki Zote Zimehifadhiwa.
KWA HISANI YA MDADISI MAMBO
Proudly powered by Blogger