ANGALIA JINSI ASKARI ALIVYOFANYA UNYAMA WA KUTISHA KWA RAIA
Hivi ndivyo inavyodaiwa kufanywa na askari Polisi mjini Tunduma
Jeraha
kubwa la kichwani kwa Adam Mtaki baada ya kushonwa ambalo linadaiwa
limetokana na kipigo kutoka kwa askari Polisi wa kituo cha Tunduma
wilayani Momba mkoani Mbeya.