Search in This Blog

BAADA YA KARIAKOO, SASA NI ZAMU YA MWANZA WAUZA MADUKA WAFANYA MGOMO WA KUTOFUNGUA, KISA MASHINE ZA TRA


 
Hali  si  nzuri  sana  jijini  Mwanza  kutokana  na  mgomo  wa  wafanyabiashara  wa  jiji  la  mwanza  ulionza  leo  asubuhi....Kwa  mujibu  wa  paparazi wetu  aliyeko  jijini  Mwanza  muda  huu, maduka  yote  yamefungwa  na  wafanyabiashara  hao  wako  barabarani  muda  huu  na  mabango  yao  wakielekea  viwanja  vya  Tanganyika....
Chanzo  cha  mgomo  huo  kinadaiwa  kuwa  ni  mashine  za TRA ambazo  zimekuwa  zikipingwa   kila  kona  ya  nchi..
 
 
 

 

 
Support : KARIBU TENA MDADISI MAM
Copyright © 2011. RISASI - Haki Zote Zimehifadhiwa.
KWA HISANI YA MDADISI MAMBO
Proudly powered by Blogger