BREAKING NEWS: WATU 12 WARIPOTIWA KUFARIKI KWENYE AJALI ILIYOTOKEA MUDA HUU HUKO HANDENI
Watu zaidi
ya 12 wameripotiwa kufa na wengine kujeruhiwa baada ya basi walilokuwa
wakisafiria la Burudani kutoka Korogwe kwenda Dar es Salaam kupinduka
katika kijiji cha Taula wilayani Handeni mkoani Tanga.