Kutokana na makampuni karibu yote ya simu
Tanzania kuwa na huduma hizi za mobile money, Je inapotokea mteja amefariki,
makampuni yanawajibika vipi kuhusu kurudisha pesa za mteja wao kwa
msimamizi wa mirathi au warithi?
swali hiili linazingatia kuwa wateja
wanaoweza kutwa na mauti kwa vyovyote wanaweza kuwa na akiba kidogo
kwenye ac zao za mitandao ya simu wanayotumia!
Je kuna sheria yoyote ambayo imeweka bayana masuala haya?
kwa wenzetu walio kwenye makampuni ya simu tafadhali mtusaidie kwa hili!
naomba kuwasilisha kwa mjadala!