Search in This Blog

MAAJABU: MAPACHA WAKIUME NA WAKIKE WAFUNGA NDOA SIKU MOJA NA KUINGIA KWENYE GUINNESS BOOK OF WORLD RECORDS

Couple mbili za mapacha wanne wanofanana (identical twins) wa Nigeria, wamefanya kile kinachoaminika kuwa ni cha kipekee na cha kwanza kuwahi kufanyika nchini humo, baada ya kufunga ndoa zao siku moja na kufanya sherehe moja.
twin wed-1
Mapacha hao wa kiume (Febisola Kehinde Okunniyi na Chibuzor Adelakin Okueze) walifunga ndoa na wapenzi wao mapacha wa kike (Folawemi Taiwo Okunniyi na Chinonso Akinade Okueze) Jumamosi iliyopita (Nov 30) huko Lagos, Nigeria.
twin wed-2
twin wed-3
Mtandao wa Daily Star wa Nigeria umedai kuwa ndoa za mapacha hao wanne kwa pamoja huenda zikawa za kwanza kwa Afrika, na kwa mujibu wa maafisa wa kitabu cha rekodi za dunia ‘Guinness Book of World Records’, ni ya 251 duniani.

SOURCE: DAILY STAR
 
Support : KARIBU TENA MDADISI MAM
Copyright © 2011. RISASI - Haki Zote Zimehifadhiwa.
KWA HISANI YA MDADISI MAMBO
Proudly powered by Blogger