Search in This Blog

MREMBO WA BONGO MUVI HUYOO AENDA ZAKE UINGEREZA, HII NI BAADA YA KUACHIA FILAMU YAKE MPYA, MSOME HAPA

Yuster Nyakachara asema baada ya kumaliza kazi yake MAJUTO SI HASARA anaenda uingereza kufatilia biashara zake, Wakati mashabiki wake wakiendelea kufurahia kazi zake. Hii ni
katika harakati ya kusaka mshiko.
 
Support : KARIBU TENA MDADISI MAM
Copyright © 2011. RISASI - Haki Zote Zimehifadhiwa.
KWA HISANI YA MDADISI MAMBO
Proudly powered by Blogger