Msanii wa Hip Hop, Nay Wa Mitego usiku
wa kuamkia leo ameibiwa vifaa vya gari lake aina ya Toyota Verossa lenye
namba T 418 CGK vyenye thamani ya shilingi milioni 4 lililokuwa
limeegeshwa nyumbani kwake.
Nay ameiambia alifunguka kuwa jana
aliliacha salama wakati anaenda kulala lakini alivyoamka leo
asubuhi,akakuta limenyofolewa baadhi ya vifaa. Hizi ni picha za gari la
Nay baada ya kuporwa baadhi ya vifaa vyake.