VIDEO: HII NDIO VIDEOINAYOONYESHA HELKOPTA YA MAREKANI ILIVYOANGUAKA
NTV wameripoti kwamba Helicopter hii ya polisi ilianguka maeneo ya Waa huko Kenya December 30 2013 baada ya kupata matatizo ya kiufundi ambapo walijeruhiwa watu watatu waliokuwemo ndani yake ambao wote waliokolewa na kukimbizwa hospitali