Search in This Blog

WASTARA NA TEAM YAKE "TEAM WASTARA" WAENDA KWENYE KABURI LA SAJUKI NA KUMUOMBEA DUA

Msanii wa filamu Wastara leo ameungana na wadau mbalimbali wa filamu makaburini Kisutu jijini Dar es Salaam kusoma dua kwaajli ya marehemu mume wake, Juma Kilowoko aliyekuwa maarufu kwa jina Sajuki.
Mzee Chiro akiwa na Wastara. Mzee Chiro akiwa na Wastara
Hata hivyo Wastara alisema baada ya shughuli ya leo. dua rasmi ya marehemu Sajuki itafanyikia nyumbani kwao Songea, January 2, 2014.
Wasanii wa filamu na wadau mbalimbali walijumuhika. Wasanii wa filamu na wadau mbalimbali walijumuika.
Wastara na Frora Mvungi Wastara na Flora Mvungi Dua ikisomwa Dua ikisomwa
IMG-20131228-WA0068
IMG-20131228-WA0069
IMG-20131228-WA0077
Picha kwa hisani ya Wastara
 
Support : KARIBU TENA MDADISI MAM
Copyright © 2011. RISASI - Haki Zote Zimehifadhiwa.
KWA HISANI YA MDADISI MAMBO
Proudly powered by Blogger