Search in This Blog

MH. TUNDU LISSU ABWAGA CHOZI..CHEZEA SIASA WEWE.

Mbunge na mwanasheria wa chama cha Demokrasia na Maendeleo CHADEMA akilia machozi ya ajabu baaada ya purukushani yiliyosababishwa na makundi yaliyokuwa yakipingana...Wanaomuunga mkono na wasiomuunga mkono Mh Zitto Kabwe...!Anayebembeleza ni mbunge wa viti maalumu CHADEMA Mh. Jocya Mukya...HATARI SANA... IMEKAAJE HII...TOA MAONI YAKO HAPO CHINI
 
Support : KARIBU TENA MDADISI MAM
Copyright © 2011. RISASI - Haki Zote Zimehifadhiwa.
KWA HISANI YA MDADISI MAMBO
Proudly powered by Blogger