Taarifa ilotufikia muda mfupi kua shoti ya
umeme imeathiri nyumba takribani 100 katika mji wa Pemba kijiji cha
Shumba mjini na mpaka hivi sasa hakujawezekana kuzimwa kwa moto huo kwa
kutopatikana gari la kuzimia moto huu ni msiba mkubwa kwa ndugu zetu
naomba tuwatakieni dua ili Allah awahafifishie mtihani huo.