Search in This Blog

ATULI AWACHANA LIVE MASTAA WANAOFUTURISHA MATAJIRI.

Mwigizaji wa sinema za Kibongo, Yobnesh Yusuf ‘Batuli’
MWIGIZAJI wa sinema za Kibongo, Yobnesh Yusuf ‘Batuli’ ametamka kuwa hakubaliani kabisa na wale mastaa wenye tabia za kufuturisha watu wenye uwezo mkubwa kiuchumi.
Akizungumza na paparazi wetu, Batuli alisema anaamini kwamba twawabu nzuri zinapatikana kwa kufuturisha watu wenye mahitaji kama watoto yatima na ndiyo maana yeye amejiandaa kuwafuturisha. 

“Wasanii tubadilike, tuwafuturishe watu wenye mahitaji ili kuwafanya na wao wafurahi, banafsi nitafanya hivyo mwezi huu, nitafuturu na wasiojiweza,” alisema Batuli.
 
Support : KARIBU TENA MDADISI MAM
Copyright © 2011. RISASI - Haki Zote Zimehifadhiwa.
KWA HISANI YA MDADISI MAMBO
Proudly powered by Blogger