Search in This Blog

MFUNGO WAMBADILI JOHARI MAVAZI, MWEZI HUU HAVAI TENA VIMINI

MWIGIZAJI wa filamu Bongo, Blandina Chagula ‘Johari’ amesema amewaunga mkono Waislamu kwa kuvaa mavazi ya kujistiri na kuziba sehemu kubwa ya mwili kuheshimu mwezi wa Ramadhani.
Mwigizaji wa filamu Bongo, Blandina Chagula ‘Johari’.
Akipiga stori mbili tatu na paparazi wetu, Johari alisema ameamua kufanya hivyo kwa sababu dini zote ni za Mungu na kwa kuwa ni kipindi cha Ramadhani, amebadilika kwa kila kitu.
“Kipindi hiki ni cha kumrudia Mungu, nimeacha kila kitu kibaya kwa kipindi hiki cha mwezi mtukufu wa Ramadhani na nimeamua kutulia ili nipate muda mwingi wa kuomba,” alisema Johari.
 
Support : KARIBU TENA MDADISI MAM
Copyright © 2011. RISASI - Haki Zote Zimehifadhiwa.
KWA HISANI YA MDADISI MAMBO
Proudly powered by Blogger