Search in This Blog

WATU 5 PAPO HAPO BAADA YA LORI KUGONGA KILABU CHA POMBE IRINGA

Maiti nne za marehemu ambao walifariki papo hapo baada ya Lori hilo kugonga kilabu hicho ikiwa imehifadhiwa katika chumba cha kuhifadhia maiti Hospitali ya Rufaa ya Iringa.
unnamed
Lori la Mizigo likiwa limepaki katikati ya kilabu hicho cha pombe ambacho kilisambalatishwa chote na chini ni mabaki ya kilabu hicho.
unnamed (9)
Mashuhuda wakiwa wanashuhudia ajali hiyo baada ya kutokea .
unnamed (11)
 Baadhi ya wananchi wa Eneo la Isimila wakiwa wameongezeka kushuhudia ajali hiyo mbaya iliyouwa wata watano papo hapo.
unnamed (12)
 Hivi ndivyo Lori hilo la Mizigo lilivyo umia vibaya baada ya kugonga kilabu hicho na kukisambalatisha usiku wa kuamkia jana na kusababisha vifo vya watu watano papo hapo.
unnamed (13)
Baadhi ya Ndugu wa Marehemu wakipata taarifa za Ajali hiyo katika eneo la tukio Isimila.
unnamed (14)
Ndugu wa Marehemu wakiwa katika Hospitali ya Rufaa ya Iringa kwa ajili ya kutambua miili ya marehemu hao.(Picha zote na Iringa Yetu Blog).
unnamed (15)

 
Support : KARIBU TENA MDADISI MAM
Copyright © 2011. RISASI - Haki Zote Zimehifadhiwa.
KWA HISANI YA MDADISI MAMBO
Proudly powered by Blogger